MAOMBI MAALUM YA KUIOMBEA TAIFA

Shalom
Namshukuru Mungu kwa ajili ya hizi siku tatu za kuiombea taifa letu la Tanzania dhidi ya Virusi vya Corona (COVID-19) Nina imani Mungu amejibu maombi ya Watanzania na ukuta wa virusi vya Corona umeanguka kama vile ukuta wa yeriko ulivyo angushwa nabkelele za majeshi ya Israel.
Bilblia inatuhakikishia kwenye kitabu cha 2MAMBO YA NYAKATI 7:14 kuwa sisi watu tulioitwa kwa jina la Mungu (Wakristo) ikiwa tutajinyenyekeza mbele za Mungu na kutubu dhambi zetu, na kutafuta uso wa Mungu na kuziacha njia zetu mbaya, basi Mungu atasikia maombi yetu, naye atashuka na kutusamehe dhambi zetu na kuiponya nchi yetu.
Hivyo naamini maombi ya watanzania waliyoomba ndani ya siku hizi taku zimepata kibali mbele za Mungu na Mungu ametusamehe dhambi zetu na kuiponya nchi yetu dhidi ya COVID-19.
Zaidi ya yote tuzidi kumtegemea Mungu na kumsihi azidi kutuongaza kama taifa lake teule, na kumzidishia rais wetu Mh John Pombe Magufuli hekima ya kuiongoza taifa hili kwa Roho mtakatifu, na kuwa katika uwepo wa Mungu kila wakati.
Amen.
Prophet Jacob Opull Zacharia.
Prophetic voice International Church (PVIC)
KWIMBA – MWANZA TANZANIA
+255787863433
+255621213276